Sunday, October 9, 2016

Mwenyekiti wa Yanga SC, Yusuf Manji

KLABU ya Yanga inapenda kuwatangazia wanachama wote wa Young Africans Sports Club (YANGA) kuwa patakuwa na mkutano mkuu wa dharula siku ya jumapili ya tar 23/10/2016.
Wanachama wote mnaombwa kufika bila kukosa kwani ni kwa faida na maslahi mapana ya Timu yetu.

Agenda za mkutano pamoja na mahali mkutano mkuu utakapofanyika mtajulishwa mapema kabla ya siku husika kufika.

 kuna uwezekano mkubwa ukawa ni kuhusiana na suala la kukodisha.

Hivi karibuni, Baraza la Michezo la Taifa (BMT), limetoa taarifa ya kutaka kufuatwa kwa taratibu likionyesha kupinga mkataba wa ukodishwaji wa Yanga.

Hata hivyo, taarifa hiyo ya BMT iliyosainiwa na Katibu wake, Mohamed Kiganja inaonekana kujichanganya kiasi kikubwa.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video