Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF linatangaza shindano la kubuni jezi mpya ya timu za Taifa.Zawadi kwa mshindi ni Tsh 2m.Mchoro uletwe kwa TFF kwa njia ya kielektrokini kupitia [email protected] au ukiwa kwenye karatasi uletwe TFF Uwanja wa Karume Ilala.Mwisho wa kupokea michoro ni tarehe 30 Novemba 2016.
By Jamal Malinzi
Rais wa TFF
Chat conversation end
0 comments:
Post a Comment