Saturday, September 10, 2016

Jose Mourinho jana jioni akiwa na wachezaji wake aliwasili katika Hoteli ya Lowry kuelekea'Dabi' kubwa ya leo ya Manchester itayoanza saa nane na nusu mchana kwa saa za Afrika Mashariki.
Mourinho was with his players and staff at the Lowry Hotel the night before the game
Mourinho huwa haishiwi vituko, wakati akiingia Hotelini hapo alionekana akikata kucha zake kwa meno zikisalia saa chache kuwakabilia Man City Uwanjani Old Trafford.
Wachezaji wa Manchester United walionekana ku-relax kabisa wakati wanatia miguu Hotelini hapo na hawakupoteza muda baada ya kushuka kwenye basi la timu ambapo waliingia mara moja Hotelini.
A number of United fans had waited to get a glimpse of their heroes at the hotel
Mashabiki wengi wa United walijitokeza Hotelini hapo wakiwasubiri mashujaa wao na waliwapiga picha mbalimbali baadhi ya wachezaji waliokuwa wakiingia Hotelini wakiwemo Zlatan Ibrahimovic, Anthony Martial na Eric Bailly.
Zlatan Ibrahimovic arrives at the Lowry Hotel on Friday evening ahead of the derby
Central defender Eric Bailly has impressed United fans  since joining the club in the summer
Striker Anthony Martial will expect to be in Mourinho's plans for the clash with City
Mechi ya leo inarejesha tena upinzani wa  Mourinho na Pep Guardiola. 
Makocha hao wakubwa waliwahi kuchuana walipokuwa wakizifundisha Real Madrid (Mourinho) na Barcelona (Guardiola).

Juan Mata will hope to still be in Mourinho's plans after starting every game so far this season


0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video