Friday, September 9, 2016

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amesema kesho itakuwa vigumu kuwafunga Manchester City wakiwa bila Sergio Aguero.
Mshambuliaji huyo wa Argentina, 28, amepigwa marufuku kucheza mechi tatu baada ya kumgonga mchezaji wa West Ham,Winston Reid, kwa kiwiko cha mkono mechi ambayo City walishinda 3-1.
The Argentinian received a retrospective ban for an elbow on Winston Reid of West Ham
Aguero amefunga mabao matatu katika mechi tatu alizocheza Ligi  kuu ya kandanda ya England msimu huu lakini Mourinho anasema kutokuwepo kwake kuna maana kwamba City, chini ya Pep Guardiola hawataweza kutabirika.
Aguero is suspended for the local derby, which is due to kick-off at 12.30pm on Saturday"Wakiwa na Aguero ni mazingira magumu zaidi, bila Aguero ni vigumu zaidi". amesema Mourinho.
"Pale Aguero anapokuwepo, unajua atacheza, na unajua watajipanga vipi."
"Mchezaji kama yeye (Aguero) anapokuwepo, anacheza. Lakini wana kikosi kipana sana. Anaweza kuwatumia  (Kelechi) Iheanacho, (Raheem) Sterling au (David) Silva kama 'nambari tisa bandia' .
Dabi hiyo ya Manchester itakayochezwa kesho uwanjani Old Trafford itaanza saa 8:30 mchana kwa saa za Afrika Mashariki.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video