Wednesday, September 14, 2016

Dondoo muhimu za kufahamu

  • PSG wamepoteza mchezo mmoja tu kati ya 40 iliyopita waliyocheza katika uwanja wao wa nyumbani katika Michuano ya Ulaya (ushindi mara 25 sare 14).
  • Olivier Giroud ametolewa nje kwa kadi nyekundu kwenye michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye misimu miwili mfululizo.
  • Alexis Sanchez amefunga mara nne na kutoa assits tano kwenye mechi 14 za mwisho za Arsenal kwenye Ligi ya Mabingwa (64%).
  • Arsenal wameshindwa kupata ushindi kwenye mchezo hata mmoja kati ya mitatu iliyopita kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi ya Mabingwa hatia ya makundi (sare 1, kufungwa mara 2).
  • Goli la Edinson Cavani ni goli la mapema zaidi kwa Arsenal  kufungwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (sekunde ya 42).
  • Arsenal wamefanikiwa kutopoteza michezo 13 ya ugenini dhidi ya timu za Ufaransa kwenye Michuano ya Ulaya (ushindi mara 8 sare mara 5).

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video