Monday, September 5, 2016

Adam Lallana akishangilia bao lake
Kocha mpya wa Timu ya soka ya England, Sam Allardyce, maarufu kwa jina la 'Big Sam' ameanza vyema kazi yake baada ya kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Slovakia  kwenye mechi ya kuwania kufuzu kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi iliyopigwa uwanja wa  

Antona Malatinskeho mjini Trnava .
Gary Cahill (right) shares in Lallana's delight as the midfielder pulls his shirt over his head having got the winner
Shukrani pekee zimwendee Adam Lallana aliyefunga bao pekee kwa kikosi cha Allardyce.
Baada ya ushindi huo, msimamo wa kundi F unaonekana hivi.
Alladryce alionekana mwenye furaha zaidi (pichani chini) kufuatia kuibuka kidedea kwenye mtanange wake wa kwanza.
As Lallana's effort gives the Three Lions a 1-0 win against Slovakia in Trnava, new boss Allardyce holds his fists aloft
Waswahili husema mwanzo mzuri mwisho huwa mzuri, ingawa sio lazima iwe hivyo kwani inaweza kuwa mwanzo mzuri mwisho mbaya au mwanzo mbaya mwisho mzuri.
The Liverpool midfielder wheels away after his dramatic late goal at the City Arena gave England the three points

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video