Taarifa
mpya inayomhushu, Paul Pogba inaeleza kwamba kiungo huyo wa Juventus na
Ufaransa ameuaga mji wa New York akijiandaa kupanda 'Mwewe' kuelekea
Mjini Manchester ambako anatarajia kukamilisha usajili wake na kurejea
ligi kuu ya England.
Pogba anatazamiwa kupima afya Manchester United Jumatatu hii na tayari klabu hiyo ya Old Trafford imekubali kuilipa Juventus paundi milioni 89, ukijumlisha na asilimia za Wakala inafika paundi milioni 100 ambayo inakwenda kuvunja rekodi ya dunia.
Pogba anatazamiwa kupima afya Manchester United Jumatatu hii na tayari klabu hiyo ya Old Trafford imekubali kuilipa Juventus paundi milioni 89, ukijumlisha na asilimia za Wakala inafika paundi milioni 100 ambayo inakwenda kuvunja rekodi ya dunia.
Kupitia
akaunti yake ya Instagram, Pogba mwenye miaka 23 ambaye anakaribia
kujiunga na Man United ame-post picha yake na kuandika maneno
yanayotafsiriwa 'Kwaheri New York'.
Mchezaji huyo alikuwa New York kwa mapumziko tangu zilipomalizika fainali za Uefa Euro 2016 nchini kwake Ufaransa.
Mchezaji huyo alikuwa New York kwa mapumziko tangu zilipomalizika fainali za Uefa Euro 2016 nchini kwake Ufaransa.
0 comments:
Post a Comment