Saturday, August 20, 2016

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya kandanda ya England (EPL), Leicester City leo wanatupa karata yao ya pili kwa kuwavaa Arsenal.
Leicester ilianza ligi mwishoni mwa Juma lililopita kwa kuchapwa 2-1 na wenyeji Hull City, wakati nao Arsenal walikula kipigo cha cha 4-3 dhidi ya Liverpool Uwanjani kwao Emirates.
Hapo chini ni Ratiba ya EPL leo:

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video