Sunday, August 7, 2016

Leicester City ndio mabingwa wa EPL msimu uliopita. Baada ya kuchukua ubingwa, mwenyekiti wa hiyo Vichai Srivaddhanaprabha aliahidi kununua gari kwa kila mchezaji wa timu hiyo kama zawadi kutokana na mafanikio yao ya kuipa ubingwa timu hiyo kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe. Jana wakati wanaenda mazoezini kwaajili ya kujiandaa na mchezo wa leo wa Ngao ya jamii dhidi ya Manchester United, wachezaji wengi walionekana na ndinga zao mpya aina ya BMW zenye thamani ya paundi 105,000 walizopewa na baada ya bosi wao kutimiza ahadi yake licha ya baddgi yao kutumia magari yao waliyonunua wenyewe.
Jamie Vardy preferred his trusted Bentley to drive to training in on Saturday rather than the £105,000 BMW sports cars presented to Leicester's players by their chairman on Friday
Jamie Vardy alienda na gari lake badala ya lile la BMW ambalo walinunuliwa wachezaji woteDefender Christian Fuchs was one of the players driving the new BMW sports cars
Beki Christian Fuchs aliendesha BMW la zawadiShinji Okazaki was also driving his regular car rather than the shining new BMWs
Shinji Okazaki aliendesha gari lake la kila siku badala ya BMW
Riyad Mahrez opens the door to one of the 19 brand new BMW I8s parked at the King Power
Riyad Mahrez alikuja na BMW The cars worth £105,000 each are gifts from Vichai Srivaddhanaprabha, the Leicester chairman, to the players following their stunning march to last season's Premier League title
BMW zenye thamani ya paundi 105,000 zikiwa zimepaki maskani ya Leicester kwenye uwanja wa King PowerMembers of the public look on outside the stadium as they catch an eye on the supercars

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video