Monday, August 15, 2016

Ni kweli Mwenyekiti amekusudia kufanya hivyo kwa sababu anasakamwa , anatukanwa na kudhalilishwa na Makonda na Mzee Akilimali.
Lakini kibaya hakuna tamko kutoka kwa Mwana-Yanga yeyote aliyekemea hilo na kuonyesha kumuunga mkono MWENYEKITI .Hivyo anajiona mnyonge na amesuswa bora akae pembeni. . Hivyo tumewasiliana viongozi wa Kanda wote tumeamua Tuitishe kikao cha Dharula kesho SAA 4 Asubuhi pale makao makuu tutatoa Tamko la pamoja na wengine wataanza kuongea na vyombo vya habari Leo hii.
Hima Tuhamasishane tuwe pamoja kesho .Tuwasihi wanachama wetu wafike club.
Katibu Mkuu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video