Monday, August 29, 2016

SIMBA SPORTS CLUB
    DAR ES SALAAM
        29-8-2016
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
klabu ya Simba ya Jijini Dar es salaam,inapenda kuwaalika Wanahabari kwenye mkutano wake utakaofanyika hapo kesho tarehe 30-8-2016 Saa Sita kamili mchana.
Mkutano 'MAKHUSUUS' kwa Waandishi utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Klabu ya Simba,uliopo Mtaa wa Msimbazi kariakoo jijini Dar.
Tunachosisitiza ni mkutano baina ya Klabu na Waandishi wa habari na sio vinginevyo.
Imetolewa na
HAJI S.MANARA
MKUU WA HABARI
SIMBA SC
SIMBA NGUVU MOJA

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video