West Ham imemsajili nyota wa Swansea, Andre Ayew kwa makataba wa miaka mitatu ambao umegharimu paundi milioni 20.5.
Kufuati maombi ya kutaka kuwasajili Alexandre Lacazette, Michy Batshuayi na Carlos Bacca kupigwa chini, Slaven Bilic ameamua kumnasa Ayew.
Straika huyo wa Ghana alitua West Ham akiwa mchezaji huru msimu uliopita, lakini alionesha kiwanho kikubwa akifunga mabao 12 katika mechi 34 alizocheza.
TAKWIMU ZA ANDRE AYEW MSIMU ULIOPITA
0 comments:
Post a Comment