Monday, August 22, 2016

Mwanariadha wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu ameshika nafasi ya tano katika mbio ndefu za wanaume kwenye michezo ya Olimpiki.

Tanzania ambayo haikupata matokeo mazuri wala kupata medali katika michezo hiyo ambayo ilifungwa jana mjini Rio de Janeiro nchini Brazil, angalau inaweza kupata tabasamu kutokana na matokeo hayo.


Michezo ya Olimpiki ya mwaka huu ilifunguliwa rasmi Agosti 5, mwaka huu na kufungwa jana Agosti 22 na kushuhudia Marekani ikitawala kwa kupata medali nyingi.

Mataifa yaliyoongoza kwa medali katika michezo hiyo ni

                        Dhahabu  fedha  shaba jumla
1. Marekani       43     37      37   117
2. Uingereza      27     22      17     66
3. China             26     18      24     68
4. Russia           17     17      18     52
5. Ujerumani      17     10      14     41
6. Japan            12     8        21     41
7.  Ufaransa        9     17      14     40

Cheki oroadha ya 10 bora ya Mataifa yaliyofanya makubwa kwenye Olimpiki:

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video