Monday, August 29, 2016

Zlatan Ibrahimovic amepewa mapumziko ya siku nne na kocha wake Jose Mourinho baada ya kucheza kila dakika ya mechi za kwanza za Manchester United msimu huu.
Ibrahimovic was upstaged by Marcus Rashford (centre), who scored the winner against Hull
Msweden huyo ameshatupia kambani magoli manne katika mechi zake nne za kwanza, lakini Mourinho ameamua kumpa mapumziko kwa madai kuwa katika umri wa miaka 34 anatakiwa kupumzika.
"Huwezi kucheza mechi 70 kwa msimu. Kwahiyo nawapa mapumziko ya siku mbili baadhi ya watu ambao hawajachaguliwa kwenye timu zao za Taifa na nampa siku nne Zlatan". Mourinho amewaambia Mirror."Katika umri wa miaka 34 unatakiwa kupumzika".
"Nampa mapumziko. Inategemea na mazingira. Anacheza kila mechi na kila dakika".
"Kwa mechi nne amecheza dakika 360, nampa siku nne mtu huyo mkubwa".
The Swedish superstar has impressed for United but Mourinho said 'at 34, you need your rest'
Licha ya Mourinho kumuona kama umri umekwenda, lakini Zlatan haonekani kuwa mkongwe kila anapoongoza safu ya ushambuliaji ya United.
Ibrahimovic has scored four goals for United but could not find the net against Hull

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video