Wednesday, August 3, 2016

Jurgen Klopp  amepitia upya mipango yake ya usajili na sasa anajiandaa kurudi tena sokoni kutatua tatizo la safu ya ulinzi linaloikabili Liverpool.
Alberto Moreno has joined Mamadou Sakho, Joe Gomez and Joel Matip on the injury list
Kocha huyo wa Majogoo wa Jiji  wakati akiwa na timu yake mjini Los Angeles Marekani alionesha kwamba baada ya kusajili wachezaji saba, biashara yake ya usajili imekwisha, ingawa alishindwa kumpata mlinzi wa kushoto wa mabingwa wa EPL, Leicester City, Ben Chilwell.
The Anfield club could use James Milner (right) as a makeshift full-back this coming season
Klopp kwasasa anajiandaa kumtumia James Milner kama beki wa dharura wa kushoto, lakini baada ya kuona  beki wake wa kushoto chaguo la kwanza Alberto Moreno akiumia kwenye mechi waliyopoteza dhidi ya AS Roma , amethibitisha kuingia sokoni kama mchezaji anayemhitaji atakuwepo.
 Liverpool ina majeruhi kama Mamadou Sakho, Joe Gomez na Joel Matip – ambao wote ni walinzi wa kati, wakati  Lucas Leiva, ambaye anaweza kuziba nafasi hizo naye anaendelea kuimarika kutokea kwenye majeraha ya nyama za paja.
The Reds have been linked with Cologne's £20m-rated full-back Jonas Hector (right) 
Kutafuta Mlinzi wa kushoto yalikuwa malengo ya Liverpool majira haya ya kiangazi na sasa bado wanaendelea kuhusishwa kumsajili beki wa Cologne, Jonas Hector kwa dau la paundi milioni 20.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video