Sunday, August 14, 2016

Simon Msuva ni moja wachezaji wa Yanga waliocheza kwenye kiwango kikubwa sana kwenye mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya MO Bejaia kutoka nchini Algeria, ambapo Yanga walishinda bao 1-0 licha ya kukosa nafasi kadhaa za wazi.
Kwa kiasi fulani aliwafurahisha mashabiki, ambao wamekuwa wakimkosoa kwa kiwango chake ambacho hushuka na kupanda mara kwa mara.
Thabani Kamusoko ni moja ya wachezaji waliovutiwa na kiwango chake cha jana, na kupitia akaunti yake ya Instagram amemuandika maneno mazuri ya kumpa moyo ili aendelee kukazana kwa bidii.
Kamusoko ameandika hivi: "His back at his best form @msuva27 welldone bro."

A photo posted by Thabani kamusoko (@thabani_scara_13) on

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video