Monday, August 15, 2016

Arsenal jana wamepigwa mabao 4-3 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa pazia la ufunguzi wa ligi ya England uliopigwa kunako dimba la Emirates.
Kama ilivyoada Wengera anasifika sana kwa ubishi wake juu ya suala la usajili wa wachezaji bora kwenye timu yake licha ya wenzake kuendelea kufanya hivyo kwa kusajili wachezaji wa kiwango cha juu. Timu kama Manchester United, Man City, Chelsea na hata Liverpool wamefanya hivyo. 
Sasa kipigo hicho cha jana kimesababisha Edo Kumwembe kuja na hili kuhusu Wenger: "Sikupost kuhusu Simba, sikupost kuhusu Manchester United, sikupost kuhusu chochote.....nilikuwa namuwaza Arsene Wenger....dunia imebakiza watu wachache sana wabishi aiseee. Mungu mlinde Wenger kwa miaka mingi ijayo. Akifa yeye tutabakiza mtu gani mbishi? Mugabe pekee hatoshi."

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video