Thursday, August 4, 2016

Kujifunga goli au kupata kadi nyekundu kwenye  mechi ya kwanza unapojiunga na timu mpya kunaaminika kuwa mwanzo mbaya zaidi wa maisha mpya soka, lakini Jeremy Menez ameanza vibaya kwa kiwango kinachosikitisha  wakati akicheza kwa mara ya kwanza katika kikosi cha  Bordeaux.
French forward Menez was making his debut for Bordeaux only two days after joining
Siku mbili tu baada ya kujiunga na timu hiyo ya Ufaransa inayocheza Ligi kuu ya nchi hiyo maarufu kama Ligi One, akitokea AC Milan, Menez amepoteza sehemu ya nyama ya sikio lake la kulia baada ya kukanyagwa kwa bahati mbaya na mlinzi wa Lorient, Didier Ndong.

The injury occurred after Lorient's Didier Ndong trampled on Menez's head
Tukio hilo lilitokea baada ya kiungo huyo wa Lorient kusimamia mguu wake katika kichwa cha mchezaji huyo mwenye miaka 29 na kusababisha majeraha hayo mabaya.

Lorient walioumizwa na tukio, wametoa taarifa kuthibitsha kuwa mshambuliaji huyo wa zamani wa Paris Saint-Germain anahitaji kufanyiwa upasujaji katika jereha lake kwa lengo la kuwekewa sikio lingine, huku mchezaji wake Ndong akimuomba radhi Menez na klabu yake ya Bordeaux kutokana na ajali hiyo ya uwanjani.

Menez will require surgery on the injury sustained in the friendly against Lorient
Menez alicheza dakika 15 tu kwenye mechi hiyo ya kirafiki ambayo timu yake ilishinda mabao matatu kwa bila.


Menez Jumatatu ya Juma hili alisaini mkataba wa miaka miwili na Bordeaux baada ya kudumu kwa misimu miwili ligi kuu ya Italia, Seria A.

Menez lasted  15 minutes of his debut, in which Bordeaux ran out 3-1 winners over Lorient
Menez gesticulates after suffering the gruesome injury in the second-half on Wednesday

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video