Tuesday, August 2, 2016

John Obi Mikel ameamua kubalisha jina lake. Jina lake halisi alikuwa anaitwa Michael John Obi, lakini Shirikisho la Soka nchini Nigeria kwa bahati mbaya walikosea herufu wakati wakimwandisha jina lake katika kikosi cha timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17 cha nchi hiyo mwaka 2003.
Waliandika Mikel badala ya Michael, hivyo Obo alimua kutumia jina hilo mpaka alijiunga na Chelsea mwaka 2006.
Taarifa zilizoenea leo zinaeleza kwamba sasa Michael, ambaye hapo awali alikuwa akiitwa John Michael Nchekwube Obinna, amebadili jina rasmi na atakuwa akiitwa 'Mikel John Obi'.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video