Wednesday, August 3, 2016

Sportsmail wameripoti, Chelsea wako tayari kutoa ofa ya mchezaji Loic Remy jumlisha na mkwanja wa paundi milioni 65 ili kuinasa saini ya Romelu Lukaku.
Chelsea sold Lukaku in 2014 for £28m but are now keen to bring him back to the club
Taarifa zinadai kuwa Everton wamekubali straika huyo wa Ubelgiji, 23, aondoke Goodison Park, lakini wamekomalia paundi milioni 75 lazima zitoke ili kuvunja mkataba wake ambao amebakia miaka mitatu.
Mwezi Januari mwaka huu, Remy alikuwa kwenye rada za Mkurugenzi wa Everton, Steve Walsh, labda inaweza kuwasaidia pia Chelsea.
They are willing to offer £65m plus Loic Remy, but Everton are holding out for £75million
Hata hivyo Everton imesema bado haijapokea ofa rasmi kutoka Chelsea, pengine kikwazo ni kiasi kikubwa cha pesa wanachohitaji..
Chelsea wanataka kumrudisha Lukaku waliyemuuza mwaka 2014 kwa dau la paundi milioni 28.



0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video