Saturday, August 13, 2016

Taarifa zilizoifikia MPENJA SPORTS muda mfupi uliopita zinaeleza kwamba dirisha la usajili limefunguliwa na FIFA TMS kwa saa 48 hivyo litakuwa wazi mpaka kesho Jumapili saa 6 usiku.

Klabu zilizochelewa kuwasilisha usajili ikiwemo Yanga na Coastal Union zinatakiwa kuwasiliana na meneja wa TMS, Jonas Kiwia.kwa maelezo zaidi.
Taarifa kama inakujia......

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video