Wednesday, August 17, 2016

Bokungu (kulia) siku aliyosaini Simba
Taarifa zilizotufikia MPENJA SPORTS zinaeleza kwamba Klabu ya Simba imemtema mlinzi wake wa kulia aliyesajiliwa siku za karibuni, Mcongo, Janvier Besala Bokungu baada ya kutoliridhisha benchi la Ufundi chini ya kocha mkuu, Joseph Marius Omog.
Simba imefikia maamuzi hayo na sasa nafasi yake inazibwa na Malika Ndeule ambaye rasmi amesaini Simba akitokea Mwadui FC na tayari jina lake lilishawasilishwa TFF kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano Tanzania bara.
Hata hivyo imefahamika kwamba kuna mchezaji mmoja kutoka Zambia anayekuja kufanya majaribo ili kuziba nafasi ya Bokungu.
Taarifa zaidi inakujia....

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video