Friday, August 5, 2016

Shkodran Mustafi
Arsenal  wametuma maombi katika klabu ya Valencia wakitaka kumsajili Mlinzi ,Shkodran Mustafi .
The Gunners are also eyeing up a move for West Brom's central defender Jonny Evans
Jonny Evans
Pia wameomba kumsajili nyota wa West Brom, Jonny Evans, lakini bado hawajaweka mezani dau kwa wachezaji hao wawili.
Kitu kibaya kwa Arsenal ni kwamba; nao Chelsea wameshaliongeza katika orodha ya wachezaji wanaotaka kuwasajili jina la mlinzi huyo wa zamani wa Everton, Mustafi,  wakitaka kuimarisha safu yao ya ulinzi wa kati.
Mkataba wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani, unaonesha kuwa kama timu inataka kumsajili inatakiwa kuuvunja kwa paundi milioni 41, lakini Valencia wanaweza kufanya mazungumzo kama dau la paundi milioni 25 litawekwa mezani.
Arsenal need to add to their defence after losing Per Mertesacker to a long term injury
Per Mertesacker

Arsenal wanahitaji kuongeza beki mpya kutokana na nahodha wao, Per Mertesacker kusumbuliwa na majeraha yatakayomuweka nje ya uwanja kwa miezi kadhaa.
Beki huyo wa Ujerumani alipata majeraha hayo katika mechi ya ufunguzi wa maandalizi ya msimu mpya ambayo Arsenal walicheza na RC Lens.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video