
Cesc Fabregas amerejea mazoezni baada ya mapumziko yaliyotokana na Michuano ya Euro

Juan Cuadrado Cesar Azpilicueta (kulia) wakikamua nchini Austria

Gary Cahill na Pedro wakifanya makamuzi

Antonio Conte akimpa maelekezo beki wa kushoto wa Chelsea Cesar Azpilicueta

Ruben Loftus-Cheek akifanya makamuzi mazoezini

Nyota mpya wa Chelsea Michy Batshuayi akionesha ufundi mazoezini 


Nahodha wa Chelsea John Terry naye hakuwa nyuma

Fabregas akifanya mazoezi ya viungo

Mtukutu Diego Costa kama kawaida yake
0 comments:
Post a Comment