Monday, July 4, 2016

Chelsea imetangaza kumsajili mshambuliaji kutoka Ubelgiji Michy Batshuayi, 22, aliyekuwa akiichezea Marseille. 
Kwa mujibu wa tovuti ya Chelsea, mchezaji huyu amesaini mkataba wa miaka mitano. 
Batshuayi amesema: "Nimefurahi kusaini katika moja ya klabu kubwa Ulaya na kufungua ukurasa mpya katika uchezaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa nitaisaidia Chelsea kushinda makombe mengi nikiwa Darajani".

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video