Lakini baada ya mchezo huo kumalizika, badala ya kwenda kwa mashabiki kuwashukuru kwa sapoti yao na mafanikio wanayopata, Gunnarsson alifikiria kitu ambacho kinaweza kikampa kumbukumbu na ndipo alimfuata Cristiano Ronaldo na kuomba wabadilishane jezi.
Ilimchukua Gunnarsson kama dakika moja au mbili hivi kumfanya Ronaldo ashtuke kama kulikuwa kunamtu anamsemesha. Muda wote wakati akitafuta mbinu ya kuomba jezi ya Ronaldo, nyota huyo wa Real Madrid hakushtushwa na ombi la nahodha wa Iceland.
0 comments:
Post a Comment