Hawakufanya vizuri katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2014 na pengine lingepaswa kuwa somo kwa ajili ya michuano ya Euro mwaka huu. Hata hivyo hali imekuwa tofauti badala yake wameanza tena vibaya baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Italy 'Azzurri'.
Na kutokana na kipigo hicho mashabiki mbalimbali kupitia mtandao wa Twitter wamekuwa wakiwaangushia mzigio wa lawama baadhi ya wachezaji.
Baadhi ya wachezaji waliogeuka 'case study' ni Romelu Lukaku na Marouane Fellaini ambao wamepigwa 'madongo ya kufa mtu'
Lukaku trying to control the ball tonight: pic.twitter.com/gW8KOdUmGN— Coral (@Coral) June 13, 2016
De Bruyne being played RW to vacate Fellaini playing behind the striker pic.twitter.com/gmonoLEXJV— Footy Accumulators (@FootyAccums) June 13, 2016
#Lukaku's price tag be falling like..... pic.twitter.com/CDOLyue998— Shetani Saba (@ShetaniSaba) June 13, 2016
0 comments:
Post a Comment