Uswizi na Ufaransa jana walipamba vikali na mchezo kuisha kwa suluhu huku mada kubwa iliyoibuka ikiwa ni juu ya suala la kuchanika kwa jezi nne za wachezaji wa Uswizi na hadi kufukia hatua watu kuziita 'tissue paper shirts'.
Kiungo mpya wa Arsenal Granit Xhaka alikuwa ndiyo kunara wa jezi zake kuchanika
Angalia twitter za watu hapoa chini
0 comments:
Post a Comment