Habari ya kuingiza mikono sehemu za siri na kuinusa imeshakuwa habari kubwa sana kwa kocha wa Ujerumani Joachim Low.
Low alifanya katika mchezo dhidi ya Ukraine juzi June 12, lakini amerudia tena wakati akiwa mazoezi na vijana wake
Hii ilikuwa wakati wa mazoezi
Oh god, the man never stops! pic.twitter.com/teY41U560D— Brooks Peck (@BrooksDT) June 13, 2016
Hapa wakati wa mechi dhidi ya Ukraine
0 comments:
Post a Comment