Thursday, June 2, 2016

Manchester City wamekamilisha usajili wa kwanza baada ya kumsajili kiungo wa Borussia Dortmund Ilkay Gundogan kwa mkataba wa miaka minne.
Licha ya kutowekwa wazi kwa gharama za usajili wa kiungi huyo, inaripotiwa kuwa amesajili kwa ada ya zaidi ya paundi milioni 20. Huo unakuwa usajili wa kwanza kufanywa na Pep Guardiola ambaye ndiye kocha mpya wa Manchester City.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video