Beki wa PSG David Luiz kwa sasa anafurahia mapumziko yake nchini Kuwait huku akisubiri msimu mpya wa ligi.
Akiwa katika mapumziko yake nchini Kuwait, Luiz alichukua muda wake kujumuika katika mchezo wa watu 5.
Kabla ya hapo, Luiz aliungana na supastaa Omar Abdulrahman kwa ajili ya kuangalia mchezo huo.
Mchezo huo unahusisha watu wenye nywele ndefu tu.
Kimsingi, wachezaji wote waliojumuika katika mchezo ule walikuwa na nywele ndefu maarufu kama afro.
Angalia video ya mchezo huo.
0 comments:
Post a Comment