Saturday, June 18, 2016

KIUNGO Mshambuliaji Obrey Cholla Chirwa ameondoka alfajiri ya leo kuelekea Algeria kuungana na timu yake mpya Yanga SC iliyopo nchini Algeria.
Baada ya kukamilisha usajili wake tayari klabu ya Yanga imetuma CAF jina la mchezaji huyo ili kupata leseni yake, ni mategemeo kuwa leseni ya Chirwa itafika jioni ya leo!Mzambia huyo anayechezea timu ya taifa ya Zambia chini ya miaka 23 kwa mara nyingine ataonana na pacha wake wa zamani katika safu ya ushambuliaji ya FC Platinum Donald Dombo Ngoma.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video