Martila (20) alianza mchezo wa jana huku Paul Pogba na Antoine Griezmann wakianzia bechi.
Hata hivyo, Martial hakuwa katika kiwango kizuri kama ambavyo amezoeleka namna anavyowanyanyasa mabeki wa Ligi ya England.
Licha ya kutoonesha kiwango hicho pengine kutokana na uzoefu wake mdogo katika michuano hiyo, lakini mashabiki hawakuacha kumponda kupitia mtandao wa Twitter.
Angalia walichomfanyia huku kwenye Twitter.
Compilation of Anthony Martial tonight. pic.twitter.com/oZqoLJSno6— Mike Sanz (@mikesanz19) June 15, 2016
0 comments:
Post a Comment