Wednesday, May 25, 2016

Mshambuliaji nyota wa Free State Stars ya Afrika Kusini, Mrisho Ngassa ametua nchini lakini moja kwa moja, akatinga Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam akiwa na jezi ya Yanga.
Ngassa ametua nchini jana, leo akafika uwanjani hapo kushuhudia mechi ya fainali Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya Azam FC akiwa amevaa na jezi ya Yanga.
Ngassa amewahi kuzichezea timu zote hizo, akianza na Yanga kabla ya kujiunga na Azam FC na baadaye akasonga Simba kabla ya kurejea Yanga.
Katika mechi hiyo, Yanga ilishinda kwa mabao 3-1 na kufanikiwa kubeba Kombe la Shirikisho.
Credit:Salehjembe

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video