Monday, May 30, 2016

Beki wa kulia wa Atletico Madrid Juan Francisco Torres maarufu kama 'Juanfran' alifunga penati ya ushindi kwenye Champions League hatua ya 16 bora wakati timu hiyo ilipoitoa PSV Eindhoven lakini ni juyo huyo ambaye amekosa penati ya ambayo imewakosesha ubingwa wa UEFA baada ya kufungwa na Real Madrid Jumapili usiku.
Juanfran (31) ambaye ni raia wa Hispania ndiyo mchezaji pekee kwenye mchezo huo aliyekosa penati wakati Real Madrid wakibeba ndoo ya Champions League kwa ushindi wa penati 5-3.
Baada ya mchezo huo wachezaji wa Atletico hasa Juanfran walijawa na huzuni kubwa kiasi cha kuwaomba radhi mashabiki wao kwa kile kilichotokea.
Leo ameamua kuandika barua maalum kwa mashabiki wa Atletico Madrid ambayo pia imeshewa katika ukurasa rasmi wa Instagram wa Atletico de Madrid.

BARUA INASOMEKA HIVI;

Hello Atleticos,

Nimeomba klabu kuwafikishia barua juu ya kila kitu ninachojisikia
Kamwe sitasahau moyo wa dhati mlioonesha kwangu wakati nilipokuja kwenu kuomba msamaha. Nikiona machozi yangu yakitiririka mbele ya maelfu ya mashabiki wa Atletico waliofika uwanjani na kunisaidia kuendana na uhalisia wa huzuni kubwa iliyokuwa imejaa kwenye nafsi yangu. Vile vile bila ya kusahau sapoti niliyopata kutoka kwa wachezaji wenzangu, kocha na watu wote wanaounda familia hii ya Atletico.
Pia ningependa kuwashukuru kwa imani kubwa ambayo mara zote mmekuwa mkionesha kwetu, na zaidi ya yote ni kutufanya kujiona watu wa tofauti wengine na wenye nafsi ya kipeke kutokana nauwepo wetu hapa Atletico.
Miaka miwili iliyopita, niliwaambia kwamba tungerejea tena fainali, na tumefanya hivyo, sasa, nawaambia kwamba, Gabi, nahodha wetu hivi iwe hivi karibuni au baadaye atanyanyua kombe la Champions League na kusherehekea sote kwa pamoja.
Nawapenda sana na tusonge mbele Wana-atletico.

Mensaje de Juanfran a la afición: Hola atléticos, Le he pedido al club dirigirme a todos vosotros a través de esta carta para deciros todo lo que siento. Nunca olvidaré vuestras muestras de afecto cuando me acerqué a pediros perdón. Ver mis lágrimas reflejadas en los rostros de los miles de rojiblancos que llenabais ese fondo del estadio sirvió para sobrellevar la tremenda tristeza que me abatía en esos duros momentos. Al igual que el apoyo de mis compañeros, técnicos y toda la gente que formamos esta gran familia. También quiero daros las gracias por creer siempre en nosotros y, sobre todo, por demostrar que ser del Atleti es algo muy especial, diferente, y que nuestro corazón late más fuerte que ningún otro. Hace dos años os dije que volveríamos a una final, ahora os digo que Gabi, nuestro capitán, levantará la Champions más tarde o más temprano y lo celebraremos todos juntos en Neptuno. Os quiero mucho y AÚPA ATLETI. - Message from Juanfran to the fans: Hello Atléticos, I have asked the club to address all of you with this letter to tell you everything I feel. I will never forget your displays of affection when I came to ask for your forgiveness. Seeing my tears reflected in the faces of the thousands of Atléticos that packed that end of the stadium helped me cope with the tremendous sadness I felt in those hard times. As well as the support of my teammates, coaches, and all the people that makes this big family. I also want to thank you for always believing in us and, above all, for proving that being an Atlético is something very special, different, and that our heart beats stronger than any other. Two years ago, I told you that we would return to a final, now, I tell you that Gabi, our captain, will lift the Champions League sooner or later, and we will celebrate it all together in Neptuno. I love you very much and GO ATLETI.
A photo posted by Atlético de Madrid (@atleticodemadrid) on

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video