Thursday, September 3, 2015

Arsene Wenger ametetea sera yake ya usajili, licha ya Arsenal kushindwa kununua mchezaji yeyote wa ndani ya uwanja mpaka kufungwa kwa dirisha la usajili wa majira ya kiangazi juzi.
The Gunners, who only signed Peter Cech, are the only team from European's top five leagues not to land a senior outfield player
Golikipa, Petr Cech ndiye mchezaji pekee aliyesajiliwa kwa paundi milioni 10 kutokea Chelsea.
Ukweli unaonesha kuwa Arsenal ya Wenger ndio klabu kubwa katika ligi tano za Ulaya ((Premier, La Liga, Serie A, Bundesliga na Ligue 1) ambayo haijanunua mchezaji wa ndani.
Hata mabingwa wa Hispania, Barcelona ambao kwasasa wamefungiwa usajili, waliweza kununua wachezaji wawili wakubwa.
Walimsajili kiungo wa Uturuki, Arda Turan kutokea Atletico Madrid kwa paundi milioni 25 na kiungo wa Sevilla, Aleix Vidal kwa ada ya paundi milioni 12.5, ingawa wote hawatacheza mpaka 2016.
Kitendo cha Gunners kutosajili, kimewaudhi mashabiki waliokubuhu wa timu hiyo 'Arsenal Supporters Trust' ambao wamehitaji sera ya usajili ya Wenger ichunguzwe haraka.
Lakini Wenger ambaye jana usiku alikuwa Nyon, Uswisi kwenye mkutano wa  2015 wa makocha wa juu wa UEFA ambapo alikutana na mpinzani wake wa zamani Sir Alex Ferguson alisema:
Wenger met up with his old adversary Sir Alex Ferguson at a UEFA coaching forum on Wednesday
"Nina furaha na uwekezaji nilioweka? ndiyo, kila muda.
"Mwaka uliopita, nilimnunua (Alexis) Sanchez, nilimnunua (Mesut) Ozil, nilimnunua Cech, nilimnunua Gabriel".

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video