Thursday, September 3, 2015

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amemjumuisha mchezaji Jeff Reine-Adelaide katika kikosi chake kitakacho shiriki michuano ya Champions League.
Mfaransa huyo mwenye miaka 19, aliyesajiliwa akitokea Lens ya Ufaransa, alicheza vizuri katika maandalizi msimu huu hasa katika Emirates Cup mwezi July.
Pia Arsenal imechagua vijana saba kutoka kikosi B kwa ajili ya mashindano.
Arsenal imepangwa kundi F pamoja na timu za Bayern Munich, Olympiacos na Dinamo Zagreb katika michuano ya Champions League. 

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video