Thursday, September 3, 2015

Manchester United wametaja kikosi kitakachocheza hatua ya makundi ya Champions League, huku wakijumuisha jina la golikipa David De Gea ambaye uhamisho wake kwenda Real Madrid ulikwama dakika za mwisho za dirisha la majira ya kiangazi huko Hispania.
De Gea is in Madrid with the Spain squad as they prepare for the Euro 2016 qualifiers
Kwasasa De Gea yuko na kikosi cha timu ya Taifa ya Hispania inayojiandaa na mchezo wa mwisho mwa Juma hili wa kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya kwa mwaka 2016 nchini Ufaransa.
Victor Valdes has missed out on a place in the Champions League squad after falling out with Louis van Gaal 
Hata hivyo, Mhispania mwenzake, Victor Valdes hajaingizwa kwenye kikosi hicho chenye wachezaji 26.


0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video