Monday, August 31, 2015

Jose Mourinho amesema kwamba, Eden Hazard lazima aongeze juhudi kurejesha kiwango chake baada ya kushuhudia mabingwa hao wa EPL wakifumuliwa magoli 2-1 nyumbani dhidi ya Crystal Palace wikendi iliyopita.
Magoli ya Bakary Sako na Joel Ward yaliipa pointi zote tatu Palace wakati Mourinho akisherehekea mchezo wake wa 100 akiwa nyumbani na kuwa kipigo cha pili tangu Mreno juyo akabidhiwe majukumu ya kukinoa kikosi hicho akiwa katika dimba la Stamford bridge.
Mourinho amemgeukia Hazard ambaye alishinda tuzo ya mchezaji bora wa msmu wa EPL msimu uliopita na wachezaji wengine baada ya timu hiyo kuwa na mwanzo mbovu wa ligi, wakiwa na pointi nne ambazo wamezipata katika michezo minne.  
"Kama wewe ni mchezaji bora katika ligi, nadhani itakuwa ni jambo jema kuwa na kiwango ambacho kinafanana na msimu uliopita”, alisema.
"Sitaki kuelezea kiwango cha mchezaji mmoja mmoja. Kwa ujumla, ni vigumu sana kuwa ni kiwango kile kile endapo baadhi ya wachezaji hawachezi vizuri.
"Ukiwa una wachezaji sita au saba wanacheza vizuri halafu watatu au wanne hawachezi vizuri, ni vigumu sana kupata matokeo".
Aliongeza kuwa anafanya kazi mchana na usiku kuhakikisha kuwa Chelsea inarejea katika ubora wake katika wiki zijazo, lakini amesema itakuwa ni huzuni kubwa endapo watabaki kuwa hivyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video