DROO ya michuano ya All African Games 2015 imefanyika
leo Julai 9 mwaka huu makao makuu ya CAF, Mjini Cairo, Misri.
Droo zote za mashindano ya
Wanaume na Wanawake zimeongozwa na katibu mkuu wa CAF, Hicham El Amrani akisaidiwa na Yosef Tesfaye Argaw , mjumbe wa CAF na mratibu
wa mashindano ya mwaka huu.
MAKUNDI
WANAWAKE
WANAUME
Mshindi
kwa kwanza na wa pili kwa kila kundi atafuzu hatua ya nusu fainali.
Fainali za michuano hiyo
zitachezwa kuanzia Septemba 3-18 mwaka huu, Mjini Brazzaville, Congo.
0 comments:
Post a Comment