Monday, July 13, 2015

Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Soka cha Wanawake chini (TWFA) inatangaza kuwa wafuatao wamepita katika mchujo wa awali katika nafasi walizoomba kama ifuatavyo:
1.   Amina Ali Karuma  - Mwenyekiti
2.   Devotha John Marwa – Mwenyekiti
3.   Cecilia Makafu – Katibu Msaidizi
4.   Somoe Roberst Ng’itu – Katibu Msaidizi
5.   Debora Ernest Mkemwa – Mjumbe Kamati ya Utendaji
6.   Mwanaheri Kalolo – Mjumbe Kamati ya Utendaji
7.   Theresia Reginald – Mjumbe Kaamti ya Utendaji

Hivyo mtu yeyote mwenye pingamizi anaombwa aliwasilishe katika ofisi za TFF – Karume kuanzia tarehe 15/07/2015  mpaka 20/07/2015.


IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)


0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video