Tuesday, July 7, 2015

Mshambuliaji inayeshinikiza kuondoka Liverpool, Raheem Sterling ametajwa kuwa ndiye  mwenye thamani kubwa kwa wachezaji vijana wenye umri chini ya miaka 21 barani Ulaya, huku wanandinga wengine watatu wa England wakiingia kwenye orodha ya 20 bora.
Kwa mujibu wa ripoti ya Soccerrex 20 U21, Sterling amepewa thamani ya paundi milioni 35, ikiwa ni zaidi ya paundi milioni 7 za Marquinhos wa PSG anayeshika nafasi ya pili.

Waingereza wengine ambao wameingia kwenye orodha hiyo ni mlinzi wa kati wa Everton, John Stones, mlinzi wa pembeni wa Manchester United, Luke Shaw na Calum Chambers wa Arsenal.

Hata hivyo, kuna wachezaji wengine watano wa ligi kuu England katika orodha hiyo, ingawa wawili kati yao hawajaanza kuzitumikia timu zao.

Nyota mpya wa Manchester United, Memphis Depay mwenye thamanin ya paundi milioni 23.5 ameshika nafasi ya tatu, wakati mshambuliaji wa Liverpool, Divock Origi ambaye msimu uliopita alicheza kwa mkopo klabu ya Lille ya Ufaransa ameshika namba 18 akiwa na thamani ya paundi milioni 10.7


Ripoti ya Soccerrex 20 imezingatia vigezo mbalimbali ikiwemo kiwango cha klabu katika ligi ya ndani na mashindano ya kimataifa, thamani ya mchezaji kwenye soko la usajili pamoja na uwezo wa sasa wa timu yake kuuza wachezaji kwa thamani kubwa.


ORODHA HII HAPA;

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video