Wednesday, July 22, 2015

Nahodha wa Liverpool, Jordan Henderson akipokewa kwa heshima

Nyota wa Liverpool wamewasili Malaysia na kupokewa kwa heshima kubwa baada ya kutua mjini Kuala Lumper kumalizia ziara yao Austria na Mashariki ya mbali.
Brendan Rodgers na wachezaji wake wakiwemo nahodha Jordan Henderson, Adam Lallana na James Milner walivalishwa maua ya heshima baada ya kuwasili  Saujana Resort kuelekea mechi ya kirafiki dhidi ya   Malaysia XI itayopigwa siku ya Ijumaa.
Wekundu hao wa Anfield wamekuwa na kiwango kizuri katika mechi za maandalizi ya msimu kwani wameshinda michezo yote mitatu dhidi ya Thai All-Stars, Brisbane Roar na Adelaide United. 
Wakimaliza mechi yao ya mwisho Mashariki ya mbali, wataelekea Finland kucheza mtanange mwingine wa kirafiki dhidi ya  HJK Helsinki kabla ya kuhitimisha maandalizi ya msimu kwa kukupiga na Swindon Town.
Summer signing James Milner looks typically non-plussed by the traditional welcome
 James Milner 
Liverpool players and staff pose for a picture after arriving in Kuala Lumpur for the final leg of their Asia tour
Wachezaji wa Liverpool na maafisa wake wakipiga picha ya pamoja baada ya kuwasili Kuala Lumpur 
Excited Malaysian fans crowd the resort entrance for a glimpse of their Reds heroes
Mashabiki wa Liverpool wa Malaysia walijawa na furaha 
Adam Lallana, who has impressed for Liverpool on pre-season, appreciates the welcome
Adam Lallana
A traditional Malaysian band plays as the Premier League stars make their way into the resort
Bendi ya asili ya Malaysia ikitumbuiza wakati Liverpool wamewasili

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video