Saturday, July 11, 2015

Na Ramadhani ngoda.
Licha ya ya kocha Louis Van Gaal kuwa katika harakati za kuunda kikosi chake kwa kusajili na kubakiza wachezaji muhimu katika kikosi chake, mlinda mlango aliyesajiliwa msimu uliopita, Victor Valdes yupo katika mazungumzo na klabu ya Antalyaspor ya Uturuki tayari kumaliza kipindi chake kifupi cha maisha ya United.
Uongozi wa Antalyaspor umethibitisha kuanza mazungumzo na golikipa huyo na kama dili hilo litakamilika, Valdes atakuwa mchezaji wa zamani wa 3 wa Barcelona kutimkia ligi kuu nchini Uturuki baada ya Samuel Eto’o na Ronaldinho Gaucho kujiunga na timu hiyo iliyopanda daraja msimu huu.

“Tupo kwenye mazungumzo na Valdes. Kama makubaliano yakifikiwa, tutakuwa tumeweza kusajili mchezaji mwingine wa hadhi kubwa duniani,” alisema ofisa habari wa klabu hiyo, Hassan Ali Ceylan kukiambia kituo cha Eurospor TR.

Hili litakuwa ni pigo kubwa kwa mabingwa mara 20 wa Uingereza kutokana na mlinda mlango chaguo la kwanza, David De gea naye kuwa katika mlango wa kutokea Old Trafford na kurejea katika nchi aliyozaliwa tayari kuwa mrithi wa Iker Casillas katika klabu ya Real Madrid.



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video