Friday, July 31, 2015

Jana usiku mechi ya kuwania kufuzu Europa League baina ya timu ya Kukesi na Legia Warsaw iliyopigwa nchini Albania ilivunjika.
Legia walioshinda 2-1 katika mechi ya kwanza ya raundi ya tatu ya kufuzu walijikuta katika wakati mgumu baada ya mchezaji wao, Ondrej Duda kupigwa na jiwe lililorushwa kutoka kwa mashabiki wa Kukesi.
Mchezo ulisimama wakati Duda akitolewa nje ya uwanja kwa machela akienda kupatiwa matibabu.
Duda returned to the field after having his head bandaged but the game was called off in Albania 
Mwanandinga huyo alifungwa plasta kichwani, akavua jezi yake iliyochafuka kwa damu na kurudi uwanjani, lakini mechi haikuweza kuendelea.
Albanian police clash with Legia supporters during a hotly contested Europa League qualifier in Tirana
Polisi wakipambana na mashabiki huko Tirana
An objected appeared to be launched by Kukesi supporters, striking Legia midfielder Duda on Thursday night 
Jiwe lilitoka kwa mashabiki hawa wa Kukesi

Mpaka sasa Shirikisho la soka barani Ulaya, UEFA halijatoa tamko lolote kuhusu tukio hilo.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video