Wednesday, July 8, 2015

"Namshukuru mke wangu kwa kunitia moyo kwakuwa alisikia na kuambiwa mengi tangu mwanzo wa sakata hili....kuwa mumewe(Silla Yalonde) ni mshenzi..mwizi..mnafiki ....mnazi wa kutupwa wa Yanga,mtu mwenye tamaa na fedha nk nk...lakini aliyavumilia na kunitia moyo kwakuwa anajua weledi wangu tangu tukisoma pamoja pale Vwawa Day miaka ya 98 hadi kesho..asante nyingi kwake..
Thanks friends kwa kunitia moyo...kunipa ushauri muda wote....
Kwa ufupi niwashukuru Yanga kwa kitendo cha kiungwana kwanza kwa kutuandikia barua ya kutuomba radhi kwa maneno na lugha chafu yaliyotolewa na msemaji wao dhidi ya mkurugenzi wa klabu yetu na klabu yetu kwa ujumla...
Zaidi niseme tu Dr Tiboroha ni kiongozi wa aina ya kipekee...anajua anachokifanya...achilia mapungufu madogomadogo ya kibinadamu na kimfumo ya klabu yake lakini naiona Yanga imepata mtu sahihi na in the near future atawapelekea mahali fulani pazuri...nakiri wazi kuwa huyu ndiye role model wangu nina mengi ya kujifunza kutoka kwake..na bahatimbaya hii imekuwa yenye manufaa makubwa sana kwa klabu ya Kimondo lakini mimi binafsi haswa ktk career development yangu.
Yanga wametimiza masharti yote ya kumsajili Mwashiuya na kuanzia hivyo ni mchezaji wao halali...
Wametupatia pesa taslimu na zaidi kufikia makubaliano yaliyo katika maandishi na kusainiwa na mimi na Katibu wa Yanga Dr Tibo kuwa itapigwa game ya kirafiki hapa kwetu Mbozi na mapato yote yatachukuliwa na klabu yangu pendwa...hili litaimarisha mahusiano baina yetu na klabu ya Yanga...ni hatua kubwa saana kwa soka letu.
Tumewaandikia barua Tff kuhusiana na issue ya Jerry hope mtalisikia suala lake huko na sio kwetu tena...
Nimalizie kwa kusema weledi wetu ktk utendaji wa shughuli zetu za kila siku una tija mara nyingi zaidi kuliko blabla tunazozikumbatia...
"Lets act professional in issues.."Mabadiliko ya kweli yanaanza na wewe...
Asanteni"
Silla Yalonde, Katibu Mkuu Kimondo

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video