Wednesday, July 29, 2015

Mabingwa wa soka England, Chelsea wameichapa Barcelona kwa penalti 4-2 katika mechi ya International Champions Cup iliyopigwa uwanja wa FedEx Field ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya kwa timu zote.
Mshindi wa mechi hiyo amelazimika kupatikana kwa mikwaju ya penalti kufuatia timu hizo kutoka sare ya 2-2 katika dakika za kawaida.
Katika dakika za kawaida, magoli ya Chelsea yalifungwa na Eden Hazard dakika ya 10 na Gary Cahill dakika ya 86, wakari magoli ya Barcelona yamefungwa na Luis Suarez dakika ya 52 na Sandro dakika ya 66.
Suarez shoots against Chelsea as the Barcelona forward tried to get his team back into the fierce pre-season tie

WALIOFUNGA NA KUKOSA PENALTI


 Iniesta, Barcelona -Alifunga

 Falcao, Chelsea- alifunga

 Halilovic, Barcelona -aligongesha mwamba

 Moses, Chelsea -alifunga

 Pique, Barcelona -kipa alidaka 

- Ramires, Chelsea -alifunga

 Sandro, Barcelona -alifunga

 Remy, Chelsea -alifunga

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video