Wednesday, June 10, 2015

WEST HAM imethibitisha kumsajili kiungo  Pedro Obiang kwa mkataba wa miaka minne kutokea klabu ya  Sampdoria ya Italia, ingawa ada ya usajili wake haijawekwa wazi.
Nyota huyo mwenye miaka 23, aliichezea Sampdoria mechi 35 katika ligi ya Italia, Seria A msimu wa 2014/2015 akifunga magoli matatu, huku timu yake ikimaliza nafasi ya saba katika msimamo.
Huyu ni mchezaji wa kwanza kusajiliwa tangu klabu hiyo imtangaze Slaven Bilic kuwa kocha mkuu.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video