Tuesday, June 9, 2015

MOJA ya safu kali zaidi ya ushambuliaji kuwahi kutokea duniani ni ya FC Barcelona inayojumuisha ‘mastraika’ watatu, Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar Jr.
Safu hii inayowasha moto wa hatari imepewa kifupicho cha MSN yaani Messi, Suarez, Neymar.

Mbali na uwezo binafsi wa kila mchezaji alioonesha msimu huu katika kikosi chao  na kuisaidia Barca kubeba La Liga, Copa del Rey na Uefa Champions League, Messi, Suarez na Neymar wamekuwa marafiki wazuri ndani na nje ya uwanja.

Kutokana na muunganiko wao wa kiuchezaji, wanasoka hao wamekuwa  gumzo kubwa katika ulimwengu wa soka na kusababisha wachambuzi wa michezo kwenda mbali zaidi wakijaribu kuelezea karama zao kubwa.

Mtando wakimichezo “talksport”  sasa umeamua kuhusianisha miji waliyozaliwa wachezaji hao kwa kuonesha Geographia ya makazi ya wanasoka hao watatu.

Baada ya kuchoro ramani na kuweka alama kwenye miji yao, wakachora mstari mmoja ulionyoka ‘Straight line’  kutoka mji anaotoka Messi(Argentina), Suareza (Urguay) na Neymar(Brazil).

Baada ya kuona mstari huo umenyooka, wamedai kuwa inawezekana ndio sababu ya washambuliaji hao kuwa na muunganiko wa ajabu katika safu ya ushambuliaji.


Angalia ramani yenyewe hapa chini;


0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video