Sunday, June 7, 2015

Ni usiku mwingine wa maajabu kwa Barcelona mjini Berlin wakihitimisha msimu wa mafanikio.
Magoli matatu kutoka kwa  Ivan Rakitic, Luis Suarez na Neymar yamewapa ushindi wa 3-1 dhidi Juventus katika  mechi ya fainali ya Uefa Champions League.
Umekuwa usiku mkubwa kwa Xavi akibeba kombe kwenye mechi yake ya mwisho Barcelona---alikuwa kiungo wa ajabu mno Katalunya.
Tazama namna nyota wa Barcelona walivyoshangilia ubingwa.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video